AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kupitia ukurasa wa Twitter wa Mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema amesema Mwenyekiti wa chama hicho Mbowe na viongozi wengine wameshindwa kufikishwa Mahakamani kwa kukosekana kwa kwa Wabunge hao wawili.
Nanukuu kile alichoandika Lema “Mkti Mbowe na Viongozi wengine wameshindwa kufikishwa mahakamani kwa kuwa Halima Mdee/Easter Matiko (MB) hawakuweza kufika Polisi na amri imetolewa wakamatwe mahali popote walipo, John Mnyika na John Heche wamebaki polisi mpaka maelekezo mengine kutoka juu yatakapotolewa” -Lema
Godbless E.J. Lema
@godbless_lema
Mkti Mbowe na Viongozi wengine wameshindwa kufikishwa mahakamani kwa kuwa Halima Mdee/Easter Matiko (MB)hawakuweza kufikaPolisi na amri imetolewa wakamatwe mahali popote walipo,John Mnyika na John Heche wamebaki polisi mpaka maelekezo mengine kutoka juu yatakapotolewa
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK