“Imetolewa Amri Halima Mdee na Esther Matiko Wakamatwe”

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 Leo March 22, 2018 Wabunge wawili wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mbunge wa Kawe Halima Mdee pamoja Esther Matiko ambaye ni Mbunge wa Tarime Mjini imeelezwa kuwa imetolewa amri na Polisi wakamatwe popote walipo.

Kupitia ukurasa wa Twitter wa Mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema amesema Mwenyekiti wa chama hicho Mbowe na viongozi wengine wameshindwa kufikishwa Mahakamani kwa kukosekana kwa kwa Wabunge hao wawili.

Nanukuu kile alichoandika Lema “Mkti Mbowe na Viongozi wengine wameshindwa kufikishwa mahakamani kwa kuwa Halima Mdee/Easter Matiko (MB) hawakuweza kufika Polisi na amri imetolewa wakamatwe mahali popote walipo, John Mnyika na John Heche wamebaki polisi mpaka maelekezo mengine kutoka juu yatakapotolewa” -Lema


Godbless E.J. Lema
@godbless_lema
Mkti Mbowe na Viongozi wengine wameshindwa kufikishwa mahakamani kwa kuwa Halima Mdee/Easter Matiko (MB)hawakuweza kufikaPolisi na amri imetolewa wakamatwe mahali popote walipo,John Mnyika na John Heche wamebaki polisi mpaka maelekezo mengine kutoka juu yatakapotolewa
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad