AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Hitmaker huyo wa ‘Vumba’ ametoa somo hilo kwa katika mtandao wa kijamii wa Instagram “Kama haupotezi marafiki basi haukubali kukuwa.”
“If You’re Not losing friends… You’re Not growing up….. !! 😎”
Baadhi ya watu katika maisha wamekuwa na rundo la marafiki na wengi wao wamekuwa waoga kupoteza marafiki kwa kuamini kuwa ni jambo baya, hivyo Shetta anatukumbusha kuwa endapo unaihitaji kusonga mbele basi huna budi kukubaliakana na mambo yote ikiwemo kupunguza marafiki wasio na faida.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK