Kama Haupotezi Marafiki Huwezi Kukua – Shetta

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kama Haupotezi Marafiki Huwezi Kukua – Shetta
Msanii wa muziki Bongo, Shetta amefunguka kwa kutoa somo kwa wanaodhania kupoteza rafiki au marafiki basi hawezi kusonga mbele katika maisha.

Hitmaker huyo wa ‘Vumba’ ametoa somo hilo kwa katika mtandao wa kijamii wa Instagram “Kama haupotezi marafiki basi haukubali kukuwa.”

“If You’re Not losing friends… You’re Not growing up….. !! 😎”

Baadhi ya watu katika maisha wamekuwa na rundo la marafiki na wengi wao wamekuwa waoga kupoteza marafiki kwa kuamini kuwa ni jambo baya, hivyo Shetta anatukumbusha kuwa endapo unaihitaji kusonga mbele basi huna budi kukubaliakana na mambo yote ikiwemo kupunguza marafiki wasio na faida.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad