Rosa Ree Atoboa Siri Zitakazowawezesha Wanawake Kupata Mafanikio

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Rosa Ree Atoboa Siri Zitakazowawezesha Wanawake Kupata  MafanikioKatika kuhadhimisha siku ya wanawake duniani msanii wa muziki Bongo, Rosa Ree ameeleza vitu ambavyo vitawawezesha wanawake wenye vipaji kuweza kufanikiwa.

Rapper huyo anayetamba na ngoma ‘Marathon’ ameiambia Dj Show ya Radio One kuwa wanawake wanapaswa kujiamini, kuamini wanachofanya na kuwa na bidii.

“Kwa wanawake wote wenye vipaji ni kujiamini, unatakiwa ujiamini ili uweze kukamilisha ndoto,” amesema.

“Pili ni kuwa na imani kwenye kitu ambacho unakifanya, tatu ni kutia bidii, huwezi kuwa na ndoto halafu hutii bidii ili kuweza kukamilisha malengo yako,” amesisitiza.

Hapo kesho, March 9, 2018 Rosa Ree anatarajia kuachia video ya ngoma yake inayokwenda kwa jina la Marathon ambayo amemshirikisha Bill Nass.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad