Kimenuka! Bob Juniour Asakea na Polisi Kisa Hiki Hapa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kimenuka! Bob Juniour Asakea na Polisi Kisa Hiki Hapa
Story kubwa inayosambaa katika mitandao ya kijamii ni kuhusu mmiliki wa Sharobaro records na staa mkongwe wa muziki wa Bongo Fleva Bob Juniour ambaye kumekuwa na tetesi kuwa anatafutwa na polisi kwa kosa la kumpiga aliyekuwa mpenzi wake na muigizaji wa Bongo movie Sabrina au maarufu kama Sabby Angel.



Sabrina amefanya interview na mtangazaji Soudy Brown wa Clouds Fm katika kipindi  cha U Heard na amesema kuwa Bob Junior amempiga kutokana na yeye kumwambia waachane kwasababu haoni maisha yakiendelea kati yao na amekuwa akilazimisha mapenzi.

Sabrina amesema…...>>>“Kweli kuna matatizo yametokea, unajua mtu huwezi kulazimisha mapenzi nikikwambia it’s over its over lakini yeye anaforce mapenzi, ananipiga mambo ya zamani kwanza siku hizi mwanamke hapigwi unanipiga umenitolea mahari?

“Nimeona hana future nikaamua kumuacha lakini mtu hataki kuelewa anakuja ananipiga mi naona kama naonewa”

Sabrina na Bob Junior inasemekana kuwa wamekuwa katika uhusiano wa kimapenzi kwa zaidi ya miaka nane hata kabla ya Bob Junior kufunga ndoa na aliyekuwa mke wake Halima.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Ukoo wa kina Bob Junior wanayo tabia ya kupiga wanawake huo ni uonevu

    ReplyDelete

Top Post Ad