AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kwenye upande wa mitandao ya kijamii picha na videos ambazo zimekuwa ziki-trend ni za muigizaji Nisha Bebe na aliyekuwa mpenzi wa muigizaji Jaquline Wolper ambaye ni Brown na kusemekana kuwa ni wapenzi wapya.
Tetesi hizo zimeendelea kuhusu wawili hao kuwa wapo katika mahusiano ya kimapenzi kutokana na videos zinazosambaa wakiwa katika mahaba mazito ingawa wawili hawa hawajasema chochote kuhusiana na hilo mpaka sasa.
Brown alikuwa kwenye uhusiano wa kimapenzi na muigazaji Jacquline Wolper kwa kipindi kirefu ila baadae waliachana kutokana na sababu zao binafsi ambazo hawakuziweka wazi.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK