Nyangumi Zaidi ya 150 Wafia Ufukweni

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Kutoka nchini Australia, leo March 23, 2018 inaelezwa kuwa Nyangumi takribani 150 wamekwama katika ufukwe wa bahari Magharibi mwa Australia na kusababisha kufungwa kwa muda kwa eneo hilo la ufukwe.

Idara ya Uvuvi nchini humo wameeleza kuwa wanahisi nyangumi hao wamekufa na hivyo imebidi wafunge ufukwe huo kwa muda kwa kuhofia papa wanaweza kuleta madhara kwenye eneo hilo.

Idara hiyo imeeleza kuwa papa huvutiwa na viumbe waliokufa hivyo nyangumi hao ambao inaaminika wamekufa wanaweza kufanya papa wasogee eneo hilo la ufukwe na kusababisha madhara makubwa zaidi.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad