Mwanafunzi aua Wazazi Wake kwa Risasi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mwanafunzi aua Wazazi Wake kwa Risasi
Polisi nchini Marekani katika Jimbo la Michigan wamemkamata mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Michigan baada ya kuwapiga risasi hadi kufa wazazi wake ambao walikwenda shule anayosoma ili kumchukua kwaajili ya likizo.

Kijana huyo aliyetambulika kwa jina la James Eric Davis Jr anatuhumiwa kuwapiga risasi wazazi wake hao wakiwa katika bweni analoishi, siku moja baada ya kwenda hospitali kutokana na suala linalohusiana na matumizi wa dawa za kulevya.

Wazazi hao ni Diva Davis, 47, na James Erick Davis Sr, 48, ambao inaelezwa kuwa walipigwa risasi na mtoto wao wakiwa ghorofa ya nne ya Ukumbi wa Campbell ulioko ndani ya chuo alichokuwa anasoma ambapo ndipo bweni lake lilikuwepo.

Mwanasheria wa Jimbo la Illinois aliandika kwenye ukurasa wake wa Twitter kuwa familia hiyo inaishi eneo la Chicago ambapo baba wa mtoto huyo alikuwa ni Askari Polisi hadi mauti ilipomfika leo.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad