AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mashambulio hayo moja likiwa la bunduki katika ofisi hizo za ubalozi na jingine la bunduki katika makao makuu ya jeshi yametokea jana March 2, 2018. Shambulio la ubalozini limesababisha vifo 8 vya maaskari wa kulinda ubalozi huo na vingine 8 kati ya washambuliaji kutokana na majibizano ya bunduki baina yao na maaskari wa ulinzi.
Shambulio hilo pia limeacha watu 80 wakiwa wamejeruhiwa huku Waziri wa Mambo ya Nje ya Ufaransa Jean-Yves le Drian akieleza kuwa bila shaka shambulio hilo ni la kigaidi.
Kwa upande wake Waziri wa Ulinzi wa Burkina Faso Clement Sawadogo amesema katika makao makuu ya jeshi lililipuliwa bomu kwenye chumba kimoja ambacho kikao cha ka
nda dhidi ya masuala ya ugaidi kilikuwa kifanyike lakini kikahamishiwa ukumbi mwingine.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK