AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kupitia ukurasa wake wa Instagram amewaomba directors kurudisha Bong movie kwenye soko kwani ndio msingi mkubwa wa kuwapatia kipato na kutekeleza majukumu katika familia hata kama wengine hawalioni hilo.
“Nilipoangalia hii tamthilia (bwana samlati )kiukweli nililia mpaka kwikwi utasema ni kweli kikubwa nilichogundua ni kwamba story, director na uchezaji ni vitu muhimu vya kuzingatia..ila sisi daaa sijui tutafika lini huku @jb_jerusalemfilms @richiemtambalike @raythegreatest@joharichagulatz @cloud112_mina_new@mrutu_lion @ johnlister fanyeni kitu jamani nyie ndo wenye bongo movie pls irudisheni.”
“kupitia nyie imetusaidia wengine kupata ajira na kuendesha familia zetu. sasa hivi bongomovie ilipo naumia kwasababu Mimi ni mmoja ambae ninaishi kutokana na kazi yangu si kama wale wanaosema hawaishi kwa kutegemea movie..Nawategemea wakubwa wangu pls”
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK