AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Simba itaondoka Jumatano hii ya Machi 14 2018 ikiwa na kumbukumbu za kulazimishwa sare ya mabao 2-2 kwa mawili, hivyo itakuwa na kibarua kigumu ugenini.
Matokeo iliyoyapata Simba awali, sasa inapaswa kwenda kupata ushindi wa bao moja bila majibu ama zaidi ya hilo moja ili kujiwekea nafasi ya kusonga mbele kwenye mashindano hayo.
Katika mchezo wa kwanza uliopigwa Uwanja wa Taifa Dar es Salaam, Bocco na Okwi ndiyo walikuwa wafungaji wa mabao ya Simba yaliyofungwa kwa njia ya adhabu ya penati.
Mechi hii ya marudiano itapigwa Jumamosi ya wiki hii, Machi 17 2018 kwenye Uwanja wa Port Said huko Misri.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK