AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza na NRG Radio Rick Ross amefunguka kuhusu mipango ya kufanya kolabo na kundi la muziki kutoka nchini Kenya, Sauti Sol.
Endapo kolabo hiyo itafanikiwa kutoka Sauti Sol watakuwa wasanii wa watatu Afrika kufanya kolabo na Rick Ross mara baada ya kundi la P Square kutoka Nigeria ambao mwaka 2012 walitoa wimbo uitwao Beautiful Onyinye, mwaka 2017 Diamond alimshirikisha rapper huyo katika ngoma yake ‘Waka’.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK