Baada ya P-Square na Diamond, Rick Ross kuwaibukia Sauti Sol

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Wakati leo April 28, 2018 msanii kutoka nchini Marekani, Rick Ross akitarajiwa kufanya show nchini Kenya, rapper huyo ana mpango wa kuacha alama katika nchi hiyo.

Akizungumza na NRG Radio Rick Ross amefunguka kuhusu mipango ya kufanya kolabo na kundi la muziki kutoka nchini Kenya, Sauti Sol.

Endapo kolabo hiyo itafanikiwa kutoka Sauti Sol watakuwa wasanii wa watatu Afrika kufanya kolabo na Rick Ross mara baada ya kundi la P Square kutoka Nigeria ambao mwaka 2012 walitoa wimbo uitwao Beautiful Onyinye, mwaka 2017 Diamond alimshirikisha rapper huyo katika ngoma yake ‘Waka’.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Top Post Ad