Monalisa Afunguka Bifu la Wema na Riyama Kumbe Halikuanzia Kwenye Tuzo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Monalisa Afunguka Bifu la Wema na Riyama Kumbe Halikuanzia Kwenye Tuzo
Baada ya kumalizika drama za hapa na pale kati ya Wema Sepetu na Rihama Ally, msanii wa Filamu Bongo, Monalisa amesema malalamiko ya Riyama yalikuwa ni zaidi ya tuzo aliyoshinda Wema.

Awali Rihaya alikuwa akilalamika kuhusu kushindanishwa na Wema Sepetu katika tuzo za za Sinema Zetu International Film Festival Award (SZIFF) na Wema kushinda tuzo hiyo.

Hata hivyo wawili hao walionekana kupatana mara baada ya kukutana katika kumpokea Monalisa akitokea Nigeria ambapo alishinda tuzo ya The African Prestigious Awards (APA) 2017 kwenye kipengele cha Msanii Bora wa Kike barani Afrika..

“Kwanza niseme nilivyofika pale sikutegemea kuona watu lakini nilivyoshuka nikakutana na wasanii wenzangu, nilijisikia furaha sana,” amesema Monalisa.

“Nilifurahi kuawaona, sidhani kama Riyama kamlalamikia Wema nyie tu ndio mnachukulia vibaya, Riyama alikuwa na malalamiko yake na mimi ninayafahamu toka siku ya kwanza,” Monalisa ameiambia Times FM.

Ameongeza kuwa Riyama na Wema wote ni rafiki zake na anaongea nao vizuri na wote si watu wa vinyongo.

April Mosi mwaka huu Wema Sepetu aliibuka mshindi wa tuzo mbili za Sinema Zetu International Film Festival Awards (SZIFF),
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Top Post Ad