Wanafunzi 23 Wamefukuzwa Chuo Kwa Kuwa na Mahusiano ya Kimapenzi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Chuo Kikuu cha Kiislamu nchini Uganda kimewafukuza wanafunzi wake 23 kwa madai ya kujihusisha na mahusiano ya kimapenzi jambo ambalo ni kinyume na kanuni za taasisi hiyo.

Mratibu wa chuo hicho, Dk. Sulait Kabali, ambaye pia ni Katibu wa Kamati ya Nidhamu, aliliambia gazeti la Daily Monitor kuwa wanafunzi hao wamefukuzwa kwa kuwa na mahusiano na kufanya mapenzi kwenye eneo la chuo.

Maamuzi hayo ya kuwafukuza wanafunzi hao yalifanywa na Kamati ya Nidhamu ya chuo hicho.

SOMA Pia: Nafasi za Ajira Serikali 
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Top Post Ad