AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza kwenye Tamasha la Pasaka jijini hapa Kwa Niaba ya Mgeni Rasmi Makamu wa Rais Samia Suluhu, mara baada ya uzinduzi wa albamu ya Rose Mhando iitwayo "Usivunjike Moyo" aliwataka wanaotoa vibali vya nyumba za ibaada watoe vibali haraka ili wananchi wapate huduma hiyo ya kiroho.
"Unakuta vibali vya nyumba za starehe vinatolewa ndani ya wiki moja huku vibali vya nyumba za ibada vinatoka kwa miaka kadhaa, sitapenda hali hiyo ijitokeze tena hapa nchini, ukizingatia watu wanataka amani kupitia nyumba hizo muwapungizie masharti ya uanzishaji," alisema Waziri huyo.
Aidha aliwaomba watoa huduma katika nyumba za ibada wasihubiri kukebei, kubagua, na kutukana imani za watu wengine kwani italeta chuki na amani haitakuepo tena.
Pia aliwashukuru waimbaji wa nyimbo za injili na kuahidi kupeleka waraka katika mikoa yote na kuhakikisha wanaanza kuwakamata wanaofanya uhalifu wa nyimbo za injili.
Baadhi ya waimbaji waliohudumu katika tamasha hilo Boniphace Mwaitege, Martha Mwaipaja, Christina Shusho na Martha Baraka.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK