Mwili wa Mtanzania Aliyeuwawa Wingereza Wakabidhiwa kwa Familia Yake

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mwili wa Mtanzania Aliyeuwawa Wingereza Wakabidhiwa kwa Familia Yake
Mwili wa Mtanzania, Leyla Mtumwa, aliyeuawa Uingereza wiki chache zilizopita, umeachiwa huru leo na kukabidhiwa kwa ndugu zake ili kuusafirisha kuurudisha hapa nchini kwa ajili ya mazishi.

Mwili huo wa Leyla ambaye aliuawa baada ya kuchomwa visu na mumewe, Kema Salum, ulikuwa ukishikiliwa na jeshi la polisi nchini Uingereza kwa ajili ya uchunguzi zaidi na baada ya kujiridhisha ndipo wakaukabidhi kwa familia.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad