AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kwa mujibu wa sosi wa karibu wa staa huyo, kwa sasa Johari ameongezeka umbo kwa sababu ya ujauzito alionao ambapo anafurahia kwani ni jambo alilokuwa akilitafuta kwa muda mrefu.
“Mmemuona Johari kwa sasa? Ni mjamzito na mwenyewe ana furaha ingawa anaficha sana ili wapambe wasimharibie,” alisema sosi huyo ambaye ni mtu wa karibu wa Johari.
Baada ya ubuyu huo kutua kwenye meza ya Gazeti la Amani, mwanahabari wetu alimsaka Johari ambaye alimung’unya maneno na kudai kuwa yeye ni mwanamke hivyo hata akipata ujauzito si jambo baya na umri wake unaruhusu.
“Sipendi kuzungumzia hayo mambo yangu binafsi, kama mimba ipo mtaiona tu, lakini pia mimi ni mwanamke na umri wangu unaruhusu kuwa na ujauzito hivyo sioni tatizo,” alisema Johari.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK