Faiza: Nampenda Sugu Ila Sio Kimapenzi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Muigizaji Faiza Ally ambaye ni mzazi mwenzie na Mbuge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’, amedai kuwa bado anampenda Sugu ila hana hisia naye za kimapenzi kutokana na kile kilichotokea kati yao.

Hata hivyo Faiza amesema licha ya yote yaliyotokea kati yao mapenzi yake ya kweli kwa Sugu hayajawahi kuisha.

“Hisia na mapenzi ni tofauti, kwa sababu nampenda mapenzi ya kweli hayajawahi kufutika, i will always love him na kumpenda haina maana kuwa nina hisia naye. Nampenda ni ndugu yangu, baba watoto wangu,” Alifunguka Faiza Jumapili Katika Mahojiano Bongo5

Faiza na Sugu wamejaliwa mtoto kupata mtoto mmoja, Sasha.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Top Post Ad