AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mkutano huo ni wa pili kufanyika kati ya viongozi hao kati ya rais wa Korea Kusini, Moon Jae-in na kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong-un.
Aidha, mkutano huo unafanyika wakati pande hizo zinaendelea na jitihada za kufanikisha mkutano wa kihistoria kati ya Korea Kaskazini na Marekani.
Alhamisi Rais wa Marekani, Donald Trump alifuta mkutano uliopangwa kufanyika tarehe 12 mwezi Juni lakini baadaye akasema kuwa unaweza kufanyika,
Hata hivyo, mazungumzo kati ya Trump na Kim kama yatafanyika huku yatajikita zaidi katika kuondolewa silaha za nyuklia kutoka rasi ya Korea na kumaliza misukosuko.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK