Marais wa Korea Kaskazini na kusini wakutana kwa dharula

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Viongozi wa Korea Kaskazini na Korea Kusini wamekutana eneo lenye ulinzi mkali kati ya nchi hizo mbili na kufanya mazungumzo ya siri.

Mkutano huo ni wa pili kufanyika kati ya viongozi hao kati ya rais wa Korea Kusini, Moon Jae-in na kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong-un.

Aidha, mkutano huo unafanyika wakati pande hizo zinaendelea na jitihada za kufanikisha mkutano wa kihistoria kati ya Korea Kaskazini na Marekani.

Alhamisi Rais wa Marekani, Donald Trump alifuta mkutano uliopangwa kufanyika tarehe 12 mwezi Juni lakini baadaye akasema kuwa unaweza kufanyika,

Hata hivyo, mazungumzo kati ya Trump na Kim kama yatafanyika huku yatajikita zaidi katika kuondolewa silaha za nyuklia kutoka rasi ya Korea na kumaliza misukosuko.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad