AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kiba amesema hayo kupitia kipindi cha Planet Bongo ya East Africa Radio ambapo amesema kuwa anauwezo wa kutoa nyimbo kila siku lakini anahofia kufirisika kwakuwa muziki unatumia pesa.
“Sio kama siwezi kuachia ngoma mfululizo naweza achia ngoma mwezi mzima yaani kila siku lakini naogopa kufirisika muziki unatumia pesa nyingi”. Amesema Kiba
Kiba ameongeza kuwa pia kukaa kutoa wimbo na kuupa muda mashabiki wanakuwa wanamuona mpya kwani kutoa kila siku unaweza chokwa mapema.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK