AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rais Magufuli ameyasema hayo leo alipokuwa kwenye ziara yake Chuo Kikuu cha Kilimo cha SOkoine (SUA) mkoani Morogoro, na kuwataka wanafunzi wote vyuoni kuzingatia masomo yao, na sio kujihusisha na vurugu hasa za kisiasa, kwani akigundua hilo atafukuza wote hata kama ni chuo kizima, na iwapo atafanya hivyo, hajui kama atawarudisha tena chuoni.
"Niwaombe ndugu zangu, mmekuja hapa kwa ajili ya shule, msipoteze muda wenu kwenye masuala yasiyo na tija, tumieni muda wenu kwenye masuala ya shule, msigeuze vyuo kuwa sehemu za siasa, siasa mtazikuta tu, pigeni shule msiingie kwenye mikumbo, kila moja ana maisha yake na baba yake na mama yake, someni, pasua, kazingatieni hilo, nataka niwaeleze kiukweli, kama kutatokea chuo chochote kinafanya fujo, mimi wala sitasita kufukuza, na nikifukuza sifahamu ntawarudisha lini, hili siwatishi nawaeleza ukweli", amesema Rais Magufuli.
Rais Magufuli ameendelea kwa kusema kwamba serikali kupitia wizara ya elimu itahakikisha inkilinda chuo cha Sokoine kama mboni ya jicho, kutokana na upekee ulionacho chuo hiko.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK