AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Hayo yameelezwa na leo jijini Dar es Salaam na Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano (UDART) Deus Bugaywa ambaye aliongeza kwamba kampuni yake inafanya jitihada za kutafuta eneo jingine la muda kwa ajili ya karakana ya matengenezo ya magari kwani kwa sasa hawana sehemu maalum ya kutengenezea magari hayo yanapopata hitilafu.
Ameeleza kuwa wakati jitihada za kutafuta eneo jingine zikiendelea wananchi wawe wavumilivu pale panapotokea uhaba wa magari kwa baadhi ya vituo kwani hata wao wanaumia kuona wakitumia fedha nyingi za kuyapeleka magari hayo kweye matengenezo katika sehemu isiyokuwa rasmi.
Aidha ameeleza kuwa mafuriko yalitokea hivi karibuni yalisababisha mkondo wa maji wa mto Msimbazi ubomoe ukuta wa eneo la miundombinu hiyo ya mabasi eneo la Jangwani na kusababisha sehemu hiyo kujaa matope.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK