AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Spika wa bunge Bi Rebecca Kadaga ameteuwa kamati ya bunge ya maswala ya mambo ya nchi za nje pamoja na mbunge Theodore Sssekikubo kulifuatilia swala hilo.
Tayari inaaripotiwa kuwa Rais Yoweri Museveni amemuandikia katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres barua kuelezea kutoridhia na kupinga pendekezo hilo la kuondolewa kwa kituo hicho.
Zaidi ya wafanyakazi 420 wakiwemo 134 kutoka nje ya nchi na raia wa Uganda 285 na wafanyakazi wanane wa Umoja wa mataifa wa kujitolea watakosa kazi kama kituo hicho mjini Entebbe kitaondolewa na kupelekwa mjini Nairobi Kenya mwezi ujao.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK