Uganda Yapinga Ofisi za Umoja wa Mataifa Kuhamishwa Nairobi Kutoka Entebbe

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Uganda Yapinga Ofisi za Umoja wa Mataifa Kuhamishwa Nairobi Kutoka Entebbe
Bunge la Uganda limepinga mpango wa Umoja wa mataifa wa kuondowa kituo chake cha kikanda Entebbe kukipeleka mjini Nairobi Kenya.

Spika wa bunge Bi Rebecca Kadaga ameteuwa kamati ya bunge ya maswala ya mambo ya nchi za nje pamoja na mbunge Theodore Sssekikubo kulifuatilia swala hilo.

Tayari inaaripotiwa kuwa Rais Yoweri Museveni amemuandikia katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres barua kuelezea kutoridhia na kupinga pendekezo hilo la kuondolewa kwa kituo hicho.

Zaidi ya wafanyakazi 420 wakiwemo 134 kutoka nje ya nchi na raia wa Uganda 285 na wafanyakazi wanane wa Umoja wa mataifa wa kujitolea watakosa kazi kama kituo hicho mjini Entebbe kitaondolewa na kupelekwa mjini Nairobi Kenya mwezi ujao.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Top Post Ad