Penzi la Prezo na Ambaer Lulu Laingia Mdudu, Prezo Aopoa Kifaa Kipya Kikali

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mwanadada Amber Lulu hapo siku za nyuma alikuwa akijitapa baada ya kuonekana akiwa katika mahusiano ya kimapezni na msanii kutoka Kenya Prezzo na kusema kuwa wawili hao hawawezi kuachana  kwa sababu wana mpnago wa kufunga ndoa lakini mambo yamekuwa sio baada ya kusambaa picha za mwanaume huyo akiwa na mwanamke mwingine.

Picha hizo zilizonyakwa huko mitandaoni zinamuonyesha prezzo akiwa na mwanamke mwingine huku katika ukurasa wa mwanamke huyo akiwa ameweka caption inayoashiria kuwa waili hao ni wapenzi .
Prezoo Akiwa na Kifaa Kipya , Anaitwa NotFlow

Hata hivyo hapo awali kuna picha pia zilikuwa zikisambaaa katika mtandao zikimuonyesha aslay akiwa na amber lulu nahata ambaer lulu alipoulizwa alisema kuwa yeye na Prezo mambo yao hayajakaa vizuri lakini aliwahakikishai waandishi kuwa kila kitu kitakuwa solved.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Top Post Ad