Steve Nyerere Awatolea Povu Wasanii wa Bongo Fleva Walioshindwa kuhudhuria Msiba wa Sam wa Ukweli

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Steve Nyerere Awatolea Povu Wasanii wa Bongo Fleva Walioshindwa kuhudhuria Msiba wa Sam wa Ukweli
Muigizaji wa Filamu nchini Tanzania, Steve Nyerere amesema kuwa wasanii wengi hususani wa Bongo Fleva hawana hofu na Mungu hao wanachoogopa ni kuporomoka kwa vipaji vyao.


Steve amesema hayo kwenye mahojiano yake na Bongo5 wakati akizungumzia sakata la wasanii wengi wa muziki kushindwa kuhudhuria kwenye msiba wa Sam wa Ukweli kitu ambacho amekieleza kama ni ukosefu wa umoja baina ya wasanii hao.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad