AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Pamoja na kulegeza msimamo huo kutokana na kulalamikiwa kwa sera hiyo ndani na nje ya taifa hilo, Trump amesisitiza kwamba bado ataendelea kuilinda mipaka yake.
Rais Trump ambaye tangu kuingia kwake madarakani alionekana kuhitaji sheria kali zaidi ya kukomesha suala la uhamiaji haramu, amejikuta matatani, safari na hasa baada ya picha zenye mguso za watoto waliotenganishwa na wazazi wao katika mpaka wa Marekani na Mexico kuanza kusambaa na kuleta mshituko mkubwa kwa raia wa Marekani.
Bunge, makundi ya haki za binadamu na hata Bi.Melania Trump yaani mkewe rais Trump mwenyewe na wake wa marais wastaafu.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK