Wahamiaji Haramu Zaidi ya 100 Wakamatwa Uturuki

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Wahamiaji haramu zaidi ya 100 wakamatwa Uturuki
Wahamiaji zaidi ya mia moja wamekamatwa kusini mwa Uturuki.

Kwa mujibu wa habari,wengi wao walikuwa wakijaribu kuvuka kuelekea Ugiriki.

Kati ya wahamiaji hao,wanawake wengi na watoto ndio walikuwa wakijaribu kuvuka kuelekea Ugiriki.

Wengi wa wahamiaji hao waliokamatwa ni raia wa Senegal,Mali,Eritrea na Afghanistan.

Wahamiaji wengi wamekuwa wakikamatwa katika baadhi ya maeneo nchini Uturuki wakiwa hawana vibali vya kuishi nchini humo.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Top Post Ad