AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mabao ya mchezo huo yametiwa kimiani na Antoine Griezmann katika dakika ya 58 kwa njia ya mkwaju wa penati na la pili likitiwa kimiani na Paul Pogba (80′).
Bao pekee la Australia liliwekwa wavuni na Mile Jedinak mnamo dakika ya 62 kwa mkwaju wa penati.
Mechi hii imekuwa ya kwanza kushuhudiwa penati mbili ndani ya dakika 90 zikipigwa kwa pande zote.
Ushindi huu wa Ufaransa unawapa alama tatu muhimu kwenye kundi C ambapo baadaye Peru na Denmark watakuwa wanacheza pia kutoka kundi hilo.
FRANCE (4-3-3): Lloris; Pavard, Varane, Umtiti, Lucas; Tolisso (Matuidi 77), Kante, Pogba; Dembele (Fekir 69), Mbappe, Griezmann (Giroud 69)
Subs not used: Mandanda, Kimpembe, Lemar, Nzonzi, Rami, Sidibe, Thauvin, Mendy, Areola
Goals: Griezmann 58 (pen); Pogba 80
Booked: Tolisso
AUSTRALIA (4-4-1-1): Ryan; Risdon, Milligan, Sainsbury, Behich; Leckie, Jedinak, Rogic (Irvine 71), Mooy; Kruse (Arzani 83); Nabbout (Juric 64)
Subs not used: Jones, Degenek, Meredith, Cahill, Jurman, Luongo, Maclaren, Petratos, Vukovic
Goal: Jedinak 62 (pen)
Booked: Leckie, Risdon, Behich
Referee: Andres Cunha (Urugua
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK