Ufaransa Yaanza Vizuri Kombe la Dunia

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Ufaransa Yaanza Vizuri Kombe la Dunia
Ufaransa imefanikiwa kuibuka na ushindi wake wa kwanza katika michuano ya Kombe la Dunia mwaka huu nchini Russia wa mabao 2-1 dhidi ya Australia.



Mabao ya mchezo huo yametiwa kimiani na Antoine Griezmann katika dakika ya 58 kwa njia ya mkwaju wa penati na la pili likitiwa kimiani na Paul Pogba (80′).


Bao pekee la Australia liliwekwa wavuni na Mile Jedinak mnamo dakika ya 62 kwa mkwaju wa penati.

Mechi hii imekuwa ya kwanza kushuhudiwa penati mbili ndani ya dakika 90 zikipigwa kwa pande zote.



Ushindi huu wa Ufaransa unawapa alama tatu muhimu kwenye kundi C ambapo baadaye Peru na Denmark watakuwa wanacheza pia kutoka kundi hilo.


FRANCE (4-3-3): Lloris; Pavard, Varane, Umtiti, Lucas; Tolisso (Matuidi 77), Kante, Pogba; Dembele (Fekir 69), Mbappe, Griezmann (Giroud 69)

Subs not used: Mandanda, Kimpembe, Lemar, Nzonzi, Rami, Sidibe, Thauvin, Mendy, Areola

Goals: Griezmann 58 (pen); Pogba 80

Booked: Tolisso

AUSTRALIA (4-4-1-1): Ryan; Risdon, Milligan, Sainsbury, Behich; Leckie, Jedinak, Rogic (Irvine 71), Mooy; Kruse (Arzani 83); Nabbout (Juric 64)

Subs not used: Jones, Degenek, Meredith, Cahill, Jurman, Luongo, Maclaren, Petratos, Vukovic

Goal: Jedinak 62 (pen)

Booked: Leckie, Risdon, Behich

Referee: Andres Cunha (Urugua
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Top Post Ad