AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wawili hao siku chache zilizopita walionekana kuwa karibu zaidi huku wadau wa mambo wakidai kwamba huwenda wamerudiana.
Bongo5 ilimtafuta Amba Lulu na kuzungumza naye machache kuhusiana na ishu hiyo ambapo alionekana kukataa kulizungumzia suala hilo kiundani zaidi.
“Mimi sina mahusiano yoyote na Aslay,” alisema Amba Lulu.
Aslay kwa sasa anadaiwa kutoka kimapenzi na muigizaji wa filamu, Diana Kimario.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK