Amber Lulu Afunguka Kuhusu Kurudiana na Aslay

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Amber Lulu Afunguka Kuhusu Kurudiana na Aslay
Msanii wa muziki, Amba Lulu amekanusha kwamba amerudiana na aliyekuwa mpenzi wake wa zamani Aslay Isihaka.



Wawili hao siku chache zilizopita walionekana kuwa karibu zaidi huku wadau wa mambo wakidai kwamba huwenda wamerudiana.

Bongo5 ilimtafuta Amba Lulu na kuzungumza naye machache kuhusiana na ishu hiyo ambapo alionekana kukataa kulizungumzia suala hilo kiundani zaidi.

“Mimi sina mahusiano yoyote na Aslay,” alisema Amba Lulu.

Aslay kwa sasa anadaiwa kutoka kimapenzi na muigizaji wa filamu, Diana Kimario.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad