AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Moja kati ya vitu ambavyo alivizungumza mrembo ni pamoja na kipindi kigumu alichopitia wakati anaumwa.
“Ni kweli hapa katikati nilikuwa anaumwa lakani namshukuru Mungu nimepona,” Wema aliimbia Bongo5. “Siwezi kuzungumzia nilikuwa naumwa nini hiyo ni privacy yangu, sasa kama video mliiona ndio ni kweli nilikuwa naumwa lakini kuhusu ugonjwa hapana,”
Video hiyo ambayo ilisambaa mitandaoni ikimuonyesha mrembo huyo akiwa katika hali isiyokuwa ya kawaida ilizua taharuki kwa mashabiki wake.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK