Calisah Aongea Mazito Kuhusu Kuwapa Ujauzito Wadada wa Mjini "Ambao ni Wazuri Nawapitia Wabaya Nawapotezea

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kijana anaesifika kwa kazi yake nzuri ya modelling, Calisah amaefunguka na kusema kuwa amekuwa akiwapa mimba wadada wengi wa mjini mabao wamekuwa wakimuomba kufanya hivyo karibia kila siku.

Akiongea na mtangazaji wa Dizzim online , Calisah anasema kuwa wadada wengi wamekuwa wakimsumbua sana kufanya nao mapenzi ili wapate mimba yake na yeye hana kinyongo na hilo kabisa kwa kuwa anaamua kuwasaidia kama binadamu.

nimewatoa wadada wengi sana mimba na wengine wamekuwa wakinimba niwape, wako wanawake wengi sana  ambao wamekuwa wakiomba niwape mimba wanakaribia hat 25, hata nikikuomyeshea kwenye simu yang wapo wapo.(huku akifungua simu yake), na pia huwa naangalia mi mwenyewe kwa sababu hata mimi nina tamaa vilevile kwaio naangalia kama mzuri napita na wewe kama mbaya naachana na wewe.sina uwezo wa kuwalea wote hao  ila hata mimi niko kwenye mchakato so soon ntapata mtoto.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad