Diva The Bawse amtumia meseji za mahaba Aliko Dangote, asema yupo amejaa tele

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mara baada ya tajiri Aliko Dangote kutangaza kuwa umefika muda wa yeye kupata mpenzi hatimaye awe mke wake wa ndoa , wadada na mastaa wengi wa kike hapa nchini na duniani kwa ujumla wamejikuta akili zimewaruka na wengi wameshaanza kuwasahau wapenzi wao na kujaribu bahati yao kwa Dangote.

Mwanadada Diva the Bawse ameshindwa kuvumilia kabisa hatimaye amekuwa akisumbuka bila mafanikio kujaribu bahati yake kwa Aliko Dangote kwa kumtumia meseji mbalimbali za mapenzi na kumuahidi yupo tayari kumpa chochote anachokitaka ili tu ile ndoto yake ya kuolewa na tajiri iweze kutimia.

Bila kusahau hapo awali Diva alikuwa akilisumbukia penzi la msakata kabumbu kutoka Brazil Neymar na kudai kuwa uzuri wa Neymar unamzuzua sana kumfanya awe chizi juu yake ,lakini kutokana na hili la Dangote, Diva ameamua kumuweka kando kwanza Neymar ili kuangalia maslahi zaidi.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad