AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwanadada Diva the Bawse ameshindwa kuvumilia kabisa hatimaye amekuwa akisumbuka bila mafanikio kujaribu bahati yake kwa Aliko Dangote kwa kumtumia meseji mbalimbali za mapenzi na kumuahidi yupo tayari kumpa chochote anachokitaka ili tu ile ndoto yake ya kuolewa na tajiri iweze kutimia.
Bila kusahau hapo awali Diva alikuwa akilisumbukia penzi la msakata kabumbu kutoka Brazil Neymar na kudai kuwa uzuri wa Neymar unamzuzua sana kumfanya awe chizi juu yake ,lakini kutokana na hili la Dangote, Diva ameamua kumuweka kando kwanza Neymar ili kuangalia maslahi zaidi.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK