AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Katibu Mtendaji wa Necta, Charles Msonde, ametangaza matokeo hayo akiwa visiwani Zanzibar leo.
Watahiniwa waliofanya vizuri zaidi kitaifa katika masomo ya Sayansi ni pamoja na Anthony Mulukozi, wa Shule ya Sekondari ya Mzumbe, Asia Jasho wa Tabora Girls, na Raphael Fanuel wa Ahmes, Pwani.
Wengine waliofanya vizuri ni pamoja na Godfrey Kawau, Uru Seminari, Kilimanjaro na Biubwa Hamis Ussi, wa shule ya Sekondari ya Sos Hermain Gmeiner, Mjini Magahribi (Zanzibar).
Wengine ni Fahad Rashid Salum, shule ya Sekondari Lumumba, Mjini Magharibi, Prince Walter Ngao, Marian Boys, Pwani, Victor Maghembe, Marian Boys, Pwani na Emmy Shemdangiwa, St Marys Mazinde Juu, Tanga na Vanessa Lodrick Shoo wa St Marys, Mazinde Juu.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK