AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Muroto amesema…>>>”Mnamo July 16, 2018 huko Mkonze katika jiji la Dodoma katika kituo cha ukaguzi wa magari alikamatwa Charles Mbise mkazi wa Ipogolo Iringa ambaye. Mtuhumiwa alikamatwa kwenye gari namba T 165 DAD aina ya Costar wakati akijaribu kutoroka kwenda Arusha baada ya kufanya unyang’anyi wa kutumia silaha aina ya kisu katika kituo cha Afro Oil kilichopo mkoani Iringa na kupora fedha za mwajiri wake kiasi cha Shilingi Milion 17”
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK