AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Jafo amesema Shule hiyo ni miongoni mwa Shule chache zenye Walimu wengi lakini imekuwa katika kundi la mwisho “Shule ya Jangwani ina walimu 87, Shule ya Kibaha ina Walimu 52, yenye Walimu 52 inakua ya kwanza kitaifa lakini yenye Walimu 87 inakua ya tatu kutoka mwisho kitaifa”
Waziri Jafo ametoa maagizo kwa Katibu Tawala wa Mkoa Afisa wa DSM abadilishe uongozi lakini pia mabadiliko ya Walimu yafanyike.
“Badilisheni Walimu wa Jangwani, waleteni Walimu wengine waje wafanye mabadiliko hapa, nimepata taarifa kuwa kuna Walimu hawafundishi, watoto wanajipinda wanaandika notes wenyewe, wengine wana moyo wa kusoma lakini Walimu wenye moyo hakuna,”
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK