AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rais Magufuli alitoa kiasi hicho cha pesa April 2018 wakati alipozindua Ukuta wa Mirerani ambapo alisema ugunduzi wa Mzee Ngoma ndio umeiweka Tanzania katika ramani ya madini hayo.
Kwa mujibu wa mtoto wake, amesema Mzee Ngoma amesafirishwa Jumatatu July 16,2018 kwenda katika hospital ya Apollo nchini India.
Mzee Ngoma amepelekwa nchini humo kwa sababu anasumbuliwa na maradhi ya kupooza.
Inaelezwa kuwa Mzee Ngoma aligundua madini ya Tanzanite miaka 52 iliyopita
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK