AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kupitia taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi wa Huduma na Elimu kwa Mlipakodi, Mamlaka ya Mapato (TRA), Richard Kayombo imesema kuwa taarifa hizo zinazodai kuwa mtandao huo utaanza kulipiwa kiasi cha shilingi elfu 15 kuanzia Julai 10 hazina ukweli wowote.
“Mamlaka ya Mapato Nchini (TRA), inapenda kuufahamisha Umma kuwa, taarifa zinazosambazwa katika mitandao ya kijamii zikidai kwamba Mtanzania yeyote anayetumia whatsapp atatakiwa kulipia shilingi 15,000/= kuanzia tarehe 10 mwezi huu ni za uongo”, imesema taarifa.
Mamlaka hiyo imetoa wito kwa watumiaji wa mtandao ya kijamii kuwa makini na kupuuza taarifa hizo kwakuwa hazina ukweli wowote.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK