Trump Ajichanganya na Kauli Yake Kuhusu Urusi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Rais wa Marekani Donald Trump amesema anakubaliana na hitimisho lililotolewa na Taasisi za Ujasusi za nchi yake kwamba Urusi iliingilia kati uchaguzi mkuu wa nchi hiyo wa mwaka 2016.

Akikanusha kauli yake aliyoitoa siku moja iliyopita baada ya mkutano wake na Rais Vladmir Putin wa Urusi.

Amesema alieleweka vibaya siku ya Jumatatu na kwamba alikuwa akimaanisha kwamba hakuona sababu kwanini isiwe Urusi ambayo ilifanya udukuzi katika uchaguzi huo.

Obama aonya dhidi ya viongozi wababe, azungumzia Ufaransa

Kamera zinazotambua iwapo una raha ama wewe ni tishio

Ni Rais Trump akiitolea ufafanuzi na kuikanusha kauli yake ya awali, ambayo imezua sintofahamu na kukosolewa vikali. Hata kwa baadhi ya washirika wake wakitaka ufafanuzi zaidi na kusafisha kauli hiyo.

Amedai kuwa katika mkutano huo wa Helsinki alimaanisha kusema kwamba hakuna sababu ya kufikiria kuwa Moscow haiwezi kuingilia kati uchaguzi wa Marekani.

Amesema ana imani na kuunga mkono taasisi za usalama za nchi yake.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad