AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wakati jeshi la polisi Arusha likithibitisha kutokea kwa tukio hilo, Mbunge wa jimbo hilo la Monduli Julius Kalanga amesema wanawake hao wamefikia uamuzi huo baada ya matukio hayo kukithiri huku akilitaka jeshi la polisi kuchunguza na kuchukua hatua.
“Pamoja na kuwa ni mtu wa nane kuuawa wanawake wameonyesha hisia zao kwa kudhani kwamba wanaume ndio wanaowauwa kwani tangu matukio haya yatokee haijawahi kutokea mtu aliyehukumiwa kutokana na matukio haya” -Mbunge Kalanga
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK