AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mngereza ametoa kauli hiyo wakati alipokuwa anazungumza kwenye kipindi cha eNewz kinachorushwa na tinga namba moja kwa vijana EATV, baada ya kuwepo uvumi kwenye mitandao ya kijamii kwamba endapo msanii ataonekana kwenye ofisi za BASATA basi atakuwa ameitwa kwa ajili ya kuadhibiwa.
"Sio kila msanii atakayekuwa anaitwa BASATA basi anataka kufungiwa kazi zake, hiyo ni dhana tu ambayo imejengeka kwa baadhi ya watu. BASATA ipo kwa ajili ya kuwasaidia wasanii katika masuala mengi tu, maana hata mikataba yao pia tunashughulikia", amesema Mngereza.
Mbali na hilo, Mngereza amefafanua baadhi ya masuala kuwa, wapo wasanii wengine wamekuwa na utamaduni wa kwenda BASATA wenyewe kwa lengo la kujadiliana masuala mbalimbali.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK