Wanakamati Wengi Hawana Passport , Saizi Wamepanga Foleni NIDA ;-Babu Tale

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Wanakamati Wengi Hawana Passport , Saizi Wamepanga Foleni NIDA ;-Babu Tale
Meneja wa msanii babu tale amefunguka na kusema kuwa pamoja na kwamba walitoa aahadi ya wasanii waliokuwa katika kamato  ya shughuli ya Zamaradi wanatakiwa kwenda afrika ya kusini kwa ajili ya party ya Tiffah lakini wanashindwa kwa sababu wasanii wengi waliokuwa katika mamati hawana passport za kusafiria.

Moja ya wasanii walijihakikishia uhakika wa safari ni pamoja na Shiloleh ambae yeye alisema kuwa tayari alishaombwa passport yake na daiamond na  tayari imekwisha shughulikiwa hivyo anasubiri safari.
Tatizo kinachokwamisha wanakati wengi hawana passport za kusafiria mpaka sasa wanapanga foleni NIDA wapate vitambulisho vya utaifa ili wakapate passport na nina wasiwasi hata Wema Sepetu passport hana.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad