AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwanamuziki Rayvany ameulizwa kwanini yeye ametulia na hajawahi kusikika katika skendo mbali mbali za kutoka kimapenzi na warembo mastaa wa Bongo kama ilivyo kwa wasanii Wengine ikiwemo boss wake Diamond ambae amehusishwa katika Skendo nyingi za kutoka na Warembo Mastaa Mbali mbali, Ray Vanny Amejibu haya
"Mimi naishi maisha yangu, Najichukulia kama mtu wa kawaida niko sawa na watu wote, nataka nisiishi kama mtu ambae niko dunia nyingine nikajistress, sio ujanja kuwa na Wanawake maarufu mara huyu mara huyu, sitaki kuja kujuta baadae" Rayvany
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK