Rayvany Apingana na Boss Wake Diamond 'Sio Issue Kutoka Kimapenzi na Kila Mwanamke Staa'

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mwanamuziki Rayvany ameulizwa kwanini yeye ametulia na hajawahi kusikika katika skendo mbali mbali za kutoka kimapenzi na warembo mastaa wa Bongo kama ilivyo kwa wasanii Wengine ikiwemo boss wake Diamond ambae amehusishwa katika Skendo nyingi za kutoka na Warembo Mastaa Mbali mbali, Ray Vanny Amejibu haya
"Mimi naishi maisha yangu, Najichukulia kama mtu wa kawaida niko sawa na watu wote, nataka nisiishi kama mtu ambae niko dunia nyingine nikajistress, sio ujanja kuwa na Wanawake maarufu mara huyu mara huyu, sitaki kuja kujuta baadae" Rayvany
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad