AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kijana huyo amesema alifanya udukuzi kwasababu yeye ni mpenzi mkubwa wa bidhaa za Kampuni hiyo na alitaka kuwashawishi wafanye naye kazi.
Polisi walifanya upekuzi nyumbani kwa kijana huyo na kupata kompyuta 2 pamoja na vifaa vingine vilivyotumika kwenye udukuzi huo.
Kijana huyo ambaye jina lake limehifadhiwa amejipatia umaarufu katika jamii ya wadukuzi kutokana na umri wake kuchukuliwa kama ni mdogo sana ukilinganisha na udukuzi alioufanya. Baada ya kufikishwa Mahakamani kesi yake inatarajiwa kuendelea mSeptember 20 mwaka huu.
Rais Magufuli ashtukiza aibukia ndani ya Dreamliner asubuhi alichofanya
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK