AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kwa upande mwingine, Afande Sele amemshauri Mbunge wa Mikumi, Professor Jay kuachana na chama chake cha CHADEMA na ajiunge CCM, ili aweze kushinda tena Ubunge wa jimbo hilo katika uchaguzi mkubwa ujao na kuwaletea maendeleo wananchi wake.
Afande akimtolea mfano Mbunge wa Mbeya Mjini, Mhe. Joseph Mbilinyi amesema kuwa ni moja ya wabunge wakorofi ambao wanatamka maneno ya kejeli na matusi kwa Rais Magufuli, kitu ambacho hakileti picha nzuri ndani ya wabunge wa upinzani.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK