AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Majaliwa ameyasema hayo usiku wa kuamkia leo Septemba 3, 2018, kwenye ofisi za Ubalozi wa Tanzania nchini China uliopo jijini Beijing wakati akizungumza na Watanzania waishio humo.
“Nawasihi wote mnaoishi nje muachane kabisa na biashara haramu ya dawa za kulevya kwa sababu inalitia doa Taifa na adhabu yake katika baadhi ya nchi ni kifo pia tukumbuke Tanzania ni nchi nzuri na inaheshimika duniani kwahiyo tuilinde heshima hiyo,” alisema.
Mbali na hilo Majaliwa pia amewataka Watanzania waishio nje ya nchi wahakikishe wanashiriki kikamilifu kujenga uchumi wa nchi yao kwa kushawishi wawekezaji wenye mitaji mikubwa waje kuwekeza nchini na kutangaza vivutio vya utalii vilivyopo Tanzania.
Miaka ya hivi karibuni imekuwa ikiripotiwa biashara ya dawa za kulevya kuhusisha watanzania ambao mara nyingi huwa wanakumbana na adhabu za mataifa hayo ikiwemo kufungwa maisha, kunyongwa na muda mwingne kifo.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK