Ali Kiba "Sina Mpango wowote wa Kujifunza Kiingereza..Naongea Kiujanja Ujanja tu"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Msanii wa bong Fleva nchini Alikiba amesema kuwa hana moyo wa kuamua kuingia darasani na kujifunza kingereza kama wengine wanavyofanya kwa sababu hakijampunguzia kitu mpaka sasa.

Alikiba anasema kuwa kama kingereza hakimuingizia kitu katika maisha yake ya kawaida na hata katika kazi zake na hakijawahi kumfanya akose kitu kuna haja gani ya kujifunza kingereza wakati anaona yeye yuko kawaida tu.

Wasanii wengi wamekuwa wakiangaika sana ktika maohjiano mbalimbali kwa sababu ya kutokjua kingereza na hata msanii kubwa Diamond alifanya jitihada za kujifunza Lugha hiyo mapema na sasa amekuwa mtaalamu wa kuongea lugha hiyo.

Sina juhudi yoyote ya kujifunza kingereza kwasababu hakiniingizi chochote, ninaimba kiswahili na nina pata mpunga na maisha yangu yanaenda, kingereza naongea kiujanja ujnaja tu na sina mpango wa kujifunza kwa sababu hakiniingizii kitu.-Alisema Alikiba
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad