Penzi la Casto na Mrembo Tunda Lapumulia Mashine...

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Pamoja na kujitapa sana katika mitandao ya kijamii kuhusu kutokuachana kwao , wasanii maarufu Tunda na Casto dickson wameripotiwa  kuwa katika hali ngumu ya kimahusiano kutokana na penzi lao kuonekana kuyumba kwa sasa.

Wawili hao ambao pezni lao lilikuwa gumzo katika mitandao wanaonekana kuwa mbalimbali kwa sasa na kwamba kuna kidudu mtu kaingilia kati swala lao na kwamba haijulikani kama litaweza kukaa kama zamani.

Moja ya vyanzo makini vilisema kuwa kwa sasa wawili hao hata hawaonekani kuwa pamoja kutokana na ukweli kuwa penzi hilo limeisha kabisa na hata kuweka picha katika mitandao imefika kikomo kwa Casto.

Baada ya hapo GPL, waliamu kumtafuta tunda hili kumuuliza kuhusu swala hilo na ndipo aliposema kuwa kwa sasa yeye hana mchumba  na yuko bize sana na maisha yake na ana vitu vingi sana vya kufanya kwaio anaombwa aachwe.

Baada ya kutafutwa kwa Casto alishangaa kuambiwa kuwa tunda amejibu kuwa hana mpenzi na kusema kuwa kwa sasa wameamua kuweka mambo yao kuwa ya siri na hakuna kitu kitakacho watenganisha.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad