Breaking: Soudy Brown Aachiwa kwa Dhamana Akamatwa Tena

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Breaking: Soudy Brown Aachiwa kwa Dhamana Akamatwa Tena
Mtangazaji wa Clouds Fm ambaye ni maharufu kupitia kipindi cha Shilawadu Soudy Brown leo ameachiwa kwa dhamana na kukamatwa tena na polisi na kuwekwa ndani.

Inadaiwa kuwa leo alifikishwa mahakamani kwa kosa la kumiliki blog bila kusajiliwa ambapo aliachiwa kwa dhamana ila baada ya kuachiliwa alikamatwa tena  na kurudishwa rumande atapelekwa tena mahakamani jumatano katika kesi nyingine inayomkabili ikimuhusisha yeye na Maua Sama
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad