AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
SoudyBrown amesomewa shtaka moja la kuweka maudhui mtandaoni bila kuwa na kibali.
Dhamana ya kosa hilo iko wazi lakini anadaiwa bado anashikiliwa na jeshi la polisi kwa kuwa ana kesi nyingine ya kujibu.
Hakimu anayeisikiliza kesi hiyo Augustine Rwizile ameghailisha kesi hiyo hadi 18 October 2018.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK