AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimedai kuwa mawakala wake wananyanyaswa lakini kinasubiri matokeo yatangazwe ili kiweze kuchukua hatua.
Hayo yamesemwa na Naibu Katibu Mkuu wa Chadema Tanzania Bara, John Mnyika ambapo ameitupia lawama Tume ya Uchaguzi.
Amesema kuwa wasimamizi wengi wa uchaguzi ni wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambao tayari wameshapewa maelekezo ya kufanya kila kituo.
“Niwaambie waandishi wa habari kuna maafisa wameletwa kwa ajili ya kuandaa mchakato mzima wa kuchakachua kura,” amesema Mnyika
Hata hivyo, Mnyika amesema kuwa sehemu kubwa ya wasimamizi wa uchaguzi ni makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK