Chadema walia kuhujumiwa na CCM Ukonga

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimelalamikia utaratibu mzima wa upigaji kura katika jimbo la Ukonga lililopo jijini Dar es salaam.

Malalamiko hayo yametolewa na Naibu Katibu Mkuu Bara, John Mnyika alipokuwa akizungumza wa waandishi wa habari jijini Dar es salaaam, ambapo amesema kuwa mawakala wengi wa Chadema wamekamatwa na kupelekwa katika kituo cha Polisi cha Stakishari kilichopo jijini humo.

Amesema kuwa kama chama wamefanya mawasiliano na Tume ya Uchaguzi lakini hakuna ushirikiano uliotolewa kuhusu hujuma hizo.

“Tumewasiliana na tume lakini tume mpaka sasa haijatupa ushirikiano wowote, kitu ambacho kinaashilia kuwa hujuma hizi wamezipanga kwa kusema watashughulikia tatizo hili,” amesema Mnyika
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad